Posts

Showing posts from April, 2019

Tiba Ya Miguu

Image
Tiba Ya Matatizo Ya Miguu. Tumia smoothie hii kuondoa tatizo lako la kujaa maji katika miguu na kuifanya ivimbe hata ukakosa raha ya kutembea kutokana na maumivu wakati mwingine.... . Ili utengeneze smoothie yako nyumbani utatakiwa uwe na vitu vifuatavyo.... 1. Vikombe viwili vya tikitimaji 2. Vipande vya tango kikombe kimoja 3. Maji ya limao vijiko viwili 3. Strawberries nusu kikombe 5. Maji ya Dafu kikombe kimoja Jinsi ya kuandaa **Chukua blender yako na uweke mahitaji yote pamoja kisha saga hadi viwe laini kabisa.... **Baada ya Hapo Mimina smoothie yako katika jagi ili kuhifadhi tayari kwa kunywa... **Kunywa walau mara mbili kwa siku Lakini pia ili uepukane na kujaa kwa miguu unatakiwa kuzingatia yafuatayo:- 1. Kunywa maji ya kutosha 2. Usikae mahali pamoja kwa muda mrefu 3. Epuka kutumia chumvi nyingi na chumvi mbichi 4. Tumia vyakula Au matunda yenye potassium 5.Epuka kusimama kwa muda mrefu 6.Tumia vitu vyenye Vitamin B6 pia Kumbuka kuwa kama una hi...

Tiba ya Pumu

Image
Tiba ya pumu Kama unasumbuliwa sana na Asthma juice hii itakuwa msaada kwako kama utaitumia Mara Kwa Mara... Mahitaji. Karoti kumi za wastani Majani ya mchicha kiganja kimoja kilichojaa Apple moja Tangawizi kijiko kimoja Ndimu moja Kitunguu swaumu punje mbili tu... Jinsi ya kuandaa Osha mahitaji yako na uanze kwa kukata kata Karoti, baada ya Hapo menya vitunguu saumu, kisha Osha Apple na uikatekate baada ya kumenya na kuondoa mbegu. . Baada ya Hapo chukua blender weka Karoti, Apple, mchicha, tangawizi, kitunguu saumu, na ukamulie ndimu kisha saga hadi vilainike sana. Baada ya Hapo Mimina kwenye jagi tayari kwa kunywa. Kwa Tiba zilizoandaliwa kitaalamu Wasiliana na Doctor Seifu 0763311841 / 0679919692

Maji Ya Ndimu

Image
Anza siku yako kwa kunywa maji ya ndimu na limao (lemonades juice) Itakusaidia kufanya yafuatayo: -Kuchangamsha mwili Kufanya mzunguko wa damu kwenda vizuri, Kuzuia na kuondoa maumivu ya misuli na mifupa Kupunguza uzito kutokana na uchomaji wa mafuta unafanywa na juice hii. Ni kinga dhidi ya magonjwa ya Ini, kansa ya matiti, tezi dume na kansa ya utumbo Kuzuia uundwaji wa mawe kwenye figo Kuondoa sumu mwilini Kuzuia vimelea vinavyoweza kuleta maradhi ya mdomo na koo la chakula Pia ni chanzo kizuri cha madini ya chuma hasa potassium na magnesium... Mahitaji Kikombe kimoja cha juisi ya Ndimu (ndimu nne ) na limao mbili Vikombe vitatu vya maji Kijiko kimoja cha mdalasini Kijiko kimoja cha asali Barafu(ukipenda) Jinsi ya kuandaa. *Chukua mahitaji yaliyoorodheshwa hapo juu changanya pamoja tayari kwa kunywa .

Tiba ya Mifupa

Image
Tiba ya Mifupa Zuia tatizo la mifupa kwa kutumia juisi yenye mchanganyiko wa Machungwana unga wa ubuyu. Kama utakosa unga wa ubuyu basi tumia almond butter.... Mchanganyiko huu unasaidia sana kuimarisha mifupa hasa kutokana na virutubisho vilivyopo ndani yake kuliko hata mtu akinywa maziwa peke yake. Unapotumia unapata vitamini K, C, A, E,B1,B2 & B6. Vilevile utapata madini chuma kama vile Calcium, Iron, Magnesium, Potassium na Folate ambayo yanasaidia sana katika kuifanya mifupa kuwa Imara na kuepuka udhaifu wa mifupa (kitaalam Osteoporosis) na kujikuta unateseka kwa kuumwa mifupa mara kwa mara. . Pia ni juisi inayosaidia sana kupunguza uzito wa mwili na kupunguza kiwango cha Cholesterol mwilini hivyo kukusaidia kuondokana na maradhi mengine yanayosababishwa na uzito mkubwa mwilini pamoja na wingi wa cholesterol. Mahitaji Kikombe kimoja cha juisi ya chungwa (250ml) Kijiko cha chai kimoja cha unga wa ubuyu Tumia kijiko kimoja cha chai cha almond butter kama huna ubu...

Tiba Ya U.T.I

Image
Tiba ya U.T.I Soma hii itakusaidia sana... Epuka maambukizi ya njia ya mkojo na uvimbe wa kibofu cha mkojo kwa kutumia tui la nazi, blueberries na ndimu. . Matunda haya pamoja na tui la nazi yana uwezo mkubwa wa kupambana na maambukizi ya njia ya mkojo(UTI) na uvimbe katika kibofu. Bacteria wanaoshambulia njia ya mkojo wanauwezo mkubwa wa kujizalisha kwa wingi ndani ya kibofu na kusababisha magonjwa ambayo wengi yanawasumbua mara kwa mara na kujikuta kila mara wakitumia dawa mpaka maambukizi yanakuwa kama sehemu ya maisha yao. Sasa anza na hii iwe ni sehemu ya kinywaji chako kila siku walau glasi mbili. Faida zake. Blueberries zinauwezo wa kuondoa bacteria wanaozaliana katika kuta za kibofu cha mkojo na hivyo basi kukuepusha na maambukizi ya njia ya mkojo (UTI) Tui la nazi lina virutubisho ambavyo vinakinga za kutosha kupambana na bacteria wanaosababisha magonjwa ya njia ya mkojo. Vyote hivi kwa pamoja ukichanganya na ndimu ni kinga tosha hata kwa ku...