Tiba ya Pumu
Tiba ya pumu
Kama unasumbuliwa sana na Asthma juice hii itakuwa msaada kwako kama utaitumia Mara Kwa Mara...
Mahitaji.
Karoti kumi za wastani
Majani ya mchicha kiganja kimoja kilichojaa
Apple moja
Tangawizi kijiko kimoja
Ndimu moja
Kitunguu swaumu punje mbili tu... Jinsi ya kuandaa
Osha mahitaji yako na uanze kwa kukata kata Karoti, baada ya Hapo menya vitunguu saumu, kisha Osha Apple na uikatekate baada ya kumenya na kuondoa mbegu. .
Baada ya Hapo chukua blender weka Karoti, Apple, mchicha, tangawizi, kitunguu saumu, na ukamulie ndimu kisha saga hadi vilainike sana. Baada ya Hapo Mimina kwenye jagi tayari kwa kunywa.
Kwa Tiba zilizoandaliwa kitaalamu
Wasiliana na Doctor Seifu
0763311841 / 0679919692
Kama unasumbuliwa sana na Asthma juice hii itakuwa msaada kwako kama utaitumia Mara Kwa Mara...
Mahitaji.
Karoti kumi za wastani
Majani ya mchicha kiganja kimoja kilichojaa
Apple moja
Tangawizi kijiko kimoja
Ndimu moja
Kitunguu swaumu punje mbili tu... Jinsi ya kuandaa
Osha mahitaji yako na uanze kwa kukata kata Karoti, baada ya Hapo menya vitunguu saumu, kisha Osha Apple na uikatekate baada ya kumenya na kuondoa mbegu. .
Baada ya Hapo chukua blender weka Karoti, Apple, mchicha, tangawizi, kitunguu saumu, na ukamulie ndimu kisha saga hadi vilainike sana. Baada ya Hapo Mimina kwenye jagi tayari kwa kunywa.
Kwa Tiba zilizoandaliwa kitaalamu
Wasiliana na Doctor Seifu
0763311841 / 0679919692
Comments
Post a Comment